Siipendi CHADEMA


mawazo ya yule zuzu simiyu yetu atakufa na magamba yake kichwani
 

Aisee dada Juliana safi sana unajitahidi,lakin mimi binafsi hata uipake vp cdm matope sitaweza kuhama! Naipenda cdm naipenda tz......! Usiku mwema dada etu
 

Mbona tunarudishana darasani kama Mjomba Mrisho Mpoto alivyo fanya kwa ADELA? elimu yangu yenyewe ya kusuasua, hii makitu ya PHILOSOPHY na CRITICAL THINKING ya nini tena humu? itanichukua muda mrefu kuelewa. ok. let me keep questioning the content of this thread, nikiacha ku-question basi nitakuwa nimekuelewa!
 

Aaaah JF raha sanaaa
 
Pole sana. Utakufa na presha bure. Mi naizimikia CCM tu. Sijui wala sijawahi fikiria vyama vya upinzani.
 
Chadema haiko hivyo.

Members wake wote walijiunga/wanajiunga b'coz of their awareness, na mapenzi yao ya dhati kwa taifa na siyo kwa kushawishiwa kwa njia ya sms kama unavyodai ww great kilaza wa ccm.
Ni waz kuwa unatetea posho ila kwa maneno yako unaonesha ni kiasi gani umefulia na nd'o maana maccm wanaku2mia kama kiburudisho chao na sasa nackia tayari nchemba amekumimba. Utakomaje kuzaa litoto jehu kama yeye?

Una nini mpaka uombwe kujiunga cdm maalum kwa wa2 makini? Pole!
 

Read something about "satire or ironic writing" you will get all the answers!
 
Mods mbona umeiunganisha thread yenye maudhui tofauti na hii..??? Au kwa kuwa imefanana title..?

Siyo tu imefanana, bali huna jipya zaidi ya kukipaka matope chadema.
Mungu akufungue akili ujitambe. Ipo siku hiyo pilau ya ccm itakutokea puani
 

kaka hilo ni fumbo
 
Mbona mwenyekiti wako akili yake ndogo anaongoza watu wenye phd na maprf.

Mkuu,akili ndogo kutokuiongoza akili kubwa haimaanishi Mdogo kielimu kutokumuongoza Mkubwa kielimu,unaweza kua Prof,Dr n.k, lakini bado akili yako ikawa ndogo,tafakari upya Mkuu!
 
Umetumia lugha ya picha na ya kifasihi sana.lakini wasomaji tumekuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…