Sihitaji kuwa Mkazi wa Mwanza tena la sivyo nitakufa na makachero

Karibu daslam ule chips na mayai... Halafu jion tunashushia na alkasusu
 
Umenikumbusha John Nash.
 
Ameathirika baada ya kukaa korokoroni muda mrefu? We unamjua Kisandu kabla ya kufungwa? Mbona saa hizi ana nafuu hapo kisaikolojia

Sent from my SM-G973F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…