naombeni anayefahamu anijuze ni wapi wanauza SIGNAL FINDER kwa ajili ya kufungia madish hapa jijini dar es salaam na bei yake kama inafahamika ... asanteni
kama upo dar kuna jamaa wao wanakuagizia unacheki tu online garama yake kiasi gani then unawaongezea pesa kidogo sana basi wanakunun ulia na kukuletea bongo.wana ofisi k/koo