Wazee wanaandamana, Walimu Wanaandamana, Madaktari wanaandamana, Wanafunzi vyuoni wanaandamana, Watoto wa shule za msingi wanaandamana
MKULIMA NAYE AKIANDAMANA BASI GANDO LIMEKATIKA[/QUOTE ( Jamani Tanzania sasa hawa Wazee Jamani si wangeketi nyumbani kula pensheni yao tu na kutuombea baraka jamani?? Angalia wanavyoteseka. Mungu atusaidie!!