Sifa za wanawake/wadada wanene

Mkuu mbona unabahatisha! Kiukweli maksi kwa mnene kuinjoi ni ndogo sana.
 
Tatzo linakuja akiwa na michirizi kwenye mapaja na kwenye makwapa hyo ndio shida
 
Duh, hizi likes 60 ambazo amekula mleta mada zimeniacha hoi. Inaonekana amegusa tastes za wadau wengi sana wa hayo mambo.


Vv
 
Reactions: SDG
Unajua wewe sio mtu mzuri, unazitesa mbavu zangu hukuuu.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Nisamehe mimi ila nikiwa na huzuni au hasira naingia youtube naangalia mijitu minene ikianguka na kufanya vituko napona kabisaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nisamehe mimi ila nikiwa na huzuni au hasira naingia youtube naangalia mijitu minene ikianguka na kufanya vituko napona kabisaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo ukiwaangalia hasira zinaisha
 
Si kweli..hakuna wasichana warembo kama wembaba kiasi...wanene ni wazuri wakivaa nguo...ila wakivua nguo unaweza kukimbia....mwanamke mwembamba akivua nguo ni mzr mno...tena kila kitu kinaonekana sawia kabisa..
Lakini mnene inabidi utumie KUMENG'ENYUA baadhi ya sehemu za mwili wake ili UUONE VZR...
 
Nyie msitutafutie kesi ambazo hazina sababu, mnataka tuue halafu keko ituhusu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] KUMENG'ENYUA Seriously nyie watu mnataka nikalazwe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…