Sifa za wanawake/wadada wanene

Sifa zote izo zake mm napenda level zangu za uwe mbamba izo zingne nawaachia wanaokuja
 
Hahahaaaa Leo naona umevurugwa kabisaaaa
 
Hapo sijaelewa, unazungumzia wanawake wanene au wenye msambwanda mkubwa, kuna vitu viwili hapo.. wanene ni tofauti na wenye makalio makubwa.. pcha zako naona unamaanisha wenye makalio makubwa sio wanene
 
bila shaka mamaa nawe pia usisite kunitag ukiwa wa kwanza kuona post. Lakini kama nishaanza kuona upande wangu baada ya kuona upo upande huo, ngoja niweke subira tupate mchambuzi kwanza. Good Morning Madame Arabian queen
Hehehe,haya tusubiri.
isiwe sie vimbaumbau hatuko katika ubora kama wale wanene
.
Morning too
 
Hehehe,haya tusubiri.
isiwe sie vimbaumbau hatuko katika ubora kama wale wanene
.
Morning too
inategemea na ubora wenyewe kwenye nini mamaa, lakini nimeona mchangiaji mmoja wa mada kasema wanakuwaga wavivu+kutokubebeka kirahisi hapo ntashawishika kuja upande wako mamaa. Na zile mada zako zile za namna ya kucare hakika ndo unanimaliza kabisaa una asilimia nyingi za kunivuta kwakooo!
 
Ha ha haaa
...
hhmmm!!!katika ubora wetu vinjiti wote
....
 
Wanawake vibonge mwenye mshepu hatari sana unaweza kila wakati unataka kupiga mbunye
 

Hehe sasa ukifika area lazima uvae gas mask kudadeki maana ukimkuta katoka jasho kule baharini harufu yake inaweza tumika kama Nusu kaputi

Haya sio manya uzembe ni miili uzembe kabisa.

Maana mtu mmoja ukimchana chana unatoa watu watatu wenye afya nzuri

Unajua wewe sio mtu mzuri, unazitesa mbavu zangu hukuuu.

 
Mnene au mwenye makalioo makubwa...?
Mwenye makalio makubwa nadhani linaweza likawa jibu sahihi

Lakini hawa wanene ninaowajua mimi, wenye vifua kama kama mabondia, matako yameingia ndani kama amebana kinyesi, matiti kama mafungu ya nyama za gulioni, vitambi utadhani kesho anajifungua, migongo imetuna utafikiri anabeba mfuko wa simenti, miguu imeenda upande kama taili za katapila za mbele, minyama mbavuni kama ng'ombe aliehasiwa,
HAPO BADO HUJANISHAWISHI ASEE
na wengi wao wana misauti kama wanatoa amri za jeshi
 
ndio maana nimeuliza.....
 
Mnene awe msafi tu ndo utapata raha ila wengine wale usafi wao sio priority utapata shida tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…