Sifa za mwanamke wa Kirombo

Vatican

Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
22
Reaction score
4
Habari wana JF naomba kujua sifa za mwanammke wa rombo hasa wa sehemu ya keni . naomba kuwasilisha:A S kiss:
 
We oa tu unataka sifa za nini ? kabila halina sifa ila kila mwanamke ana sifa zake !!!
 
Umeona eh. Muda si mrefu watahamia Marangu. Nlimwambia Mentor akawa anabisha.

Kuwa mchaga kazi kweli
yaani bestie nilipoona heading ya hii thread nilikukumbuka manake kwenye ule wa wanawake wa machame uliyasema haya.
nimejikuta nakuona ghafla kufungua tu ndani nakuona wewe.
tusubiri tuone kesho watakuja na wachaga wepi.
Kweli wanawake wa kichaga tunakazi.
 
Wanawaita makobota yani wanafanya kazi kama trekta
 
anataka sifa gani , shape maumbile au tabia...na ni kwa ajili gani nianze kumdalalia dada angu..fasta kama ni kuolewa aolewe
 
Hizi hapa!
 
Ukijua zitakusaidia nini cv ya kila mwanamke zinatofautiana na sio kwa ujumla kama unavyotaka. Wewe oa tu hayo mengine ni ya kurekebishana ndani kwa ndani siri yenu. Ebo unafikiri zinaandikwa mahali kila mtu ajue!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…