Yaani kiongozi kwa mujibu wa ushauri uliom'pa mdau-mwenza haufanani na jina lako! Ushauri wako ni ecxelent! Sijui ilikuaje Fergy akakupiga 8 wakati una ma'ushauri mazuri kiivo! Oooh-maaama!
Magoo! Soo much whistles it may lead dog to the wron' direction! Also mimi na wasiwasi na hivyo unavyokata mikwanja japokua sikuulizi ni ya urithi ama zako mwenyewe bt above ol try to avoid extravagancy my fellow mdau.
Ha ha ha, tatizo jukwaa lenu ni rahisi mtu kuwa addicted. Kwahio ni bora niwe napita pita tu mara moja moja. Sports kule powa siku za games tu ndio mara nyingi najiunga.