Siasa za Zitto Kabwe za Kupingapinga zinavyobuma

Siasa za Zitto Kabwe za Kupingapinga zinavyobuma

blix22

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2013
Posts
213
Reaction score
645
7aec17f2-305b-41d8-b87f-3bec5e496005.jpg



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ukiona mwanasiasa anatega sikio,kusikiliza hotuba ya Rais,halafu baada ya muda anatoa taarifa kumpinga ujue huyo ameishiwa
 
Hayo yoote yanaweza kuwa sawa au HAPANA, ila kwa nini vyama vya kupinga a.k.a upinzani kwa nini havina ofisi za maana na wanapata gawiwo/ruzuku kutoka serikali ya ccm?

Na kwa nini hata kama ruzuku ni ndogo wengine wanachangishana kutika kwenye posho kama cdm ila ukiangalia ofisi 🏠yao kama nyumba ya mjumbe aliyepo huko kigona mpakani.
 
Hayo yoote yanaweza kuwa sawa au HAPANA, ila kwa nini vyama vya kupinga a.k.a upinzani kwa nini havina ofisi za maana na wanapata gawiwo/ruzuku kutoka serikali ya ccm?

Na kwa nini hata kama ruzuku ni ndogo wengine wanachangishana kutika kwenye posho kama cdm ila ukiangalia ofisi 🏠yao kama nyumba ya mjumbe aliyepo huko kigona mpakani.

Kitengo Cha propaganda CCM... Mnachuja vibaya.... Hamna kujibu hoja zaidi ya mapambio...

Elewa kwamba, sio wote wapo chadema au tlp au nccr..
wapo ambao hawana ushwishi wa chama chochote na Wana hoja za msingi za maendeleo....
 
Back
Top Bottom