Priceless soul
JF-Expert Member
- Jul 4, 2017
- 1,484
- 1,727
mkuuu hyo avatar vip?Hapo swali ni kwamba mpango wake kwako ni nini tu hilo la kusema hela anaipelek wapi ni swali la kitoto maana binadamu hata kama akiwa hana shida na hela ukimpa anapokea,hata wewe.
naweza kuweka screen shot hapa ila si nzuri kwa public kama hapa ndugu
Mkuu apa na yeye atabadili aseme alikua anamchunguza mumewe teh tehHuko Instagram ndiyo biashara inapofanyika so kuanzia mwanzo ulikosa kufall in love na mwanamke wa Instagram.
Ili myamalize vizuri muite hotel kama mteja kwa ujira wa hiyo 60,000 akiingia room atakukuta ni wewe mtajadili vizuri ndiyo ata-admit kuwa ni kazi yake na baada ya hapo mtakubaliana kuanzia sasa akuhudumie tu kwa malipo na sio ile ndoto ya mchana ya kuoa demu wa Instagram.
Sent using Jamii Forums mobile app
UnaukumbukaNikuuulizapo ulikuwa wapiii..(Nilikua kwa shangazi Kariakoo)
Kumbe unawako wa pembeni kipenzi Editha...
Sikinde Ngoma ya Ukaye.
Pole mkuu ila umefanya vizuri kumchunguza ndio maana huwa napingana sana na wanaosema eti usimchunguze mpenzi sasa madudu hayo ungeyajulia wapinaweza kuweka screen shot hapa ila si nzuri kwa public kama hapa ndugu
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah hii ya kuloa ni ukweli kabisa aisee, Nina experience ya kutoshaAu ni iliyoloa muda wote na chafu,na au imechoka kunin'ginia kama mambupu.
Mkuu apa na yeye atabadili aseme alikua anamchunguza mumewe teh teh
Vitunguu swaumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora ajiongeze tu amuache.Akimuita hotelini na hii mihemuko ya kusalitiana wanaweza kupigana waumizane.
Hiyo nayo ni shule nyingine mkuu, ebu tupe madini kidogo kuhusu used pussy, how far can u detect itUtakuta na huku jf yupo.
Ila mkuu kweli mpenzi wako atiwe na wanaume wengine usihisi chochote kwenda papuchi yake? WEWE NI MZEMBE
Atammaliza kisaikolojia. Yaan huenda kuwa asiache umalaya. Lakin nafsi itamsuta siku zote za maisha yakeMkuu fanya ivi kubariana nae aje hotel na wewe ndio utangulie hakukute akifungua tu anakutana na wewe utakuwa umemaliza tena usimsemeshe mwache tu wewe sepa utamsaidia siku iyo kuacha umaraya
Sent using Jamii Forums mobile app
Imagine angeoa? Ndoa ingekuwaje kwakweli.Pole mkuu ila umefanya vizuri kumchunguza ndio maana huwa napingana sana na wanaosema eti usimchunguze mpenzi sasa madudu hayo ungeyajulia wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadogo usoni wanahifadhi wazee wako!
Hii stori yako bwana daaah eti unaomba ushauri wakati kakuambia alishawahi kupigwa mtungo na wanaume watatu na wanne kakubali.Yaani ukiendelea nae dishi lako litakuwa na chenga
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba anatumia jina gani Insta nami nikamsalimienaweza kuweka screen shot hapa ila si nzuri kwa public kama hapa ndugu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ata mm nashangaa anayesema usiishike simu ya mpenzi wako naisi akili zao zinakuwaga hazipo sawaPole mkuu ila umefanya vizuri kumchunguza ndio maana huwa napingana sana na wanaosema eti usimchunguze mpenzi sasa madudu hayo ungeyajulia wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
tatizo lako mkuu ulijiona una miujiza sana yaani mtoto mkali kilaini tu uopoe instagram
Sent using Jamii Forums mobile app