Si umeshaolewa wewe? Wamtega nani?

naweweee si umeowaaa au hata kama hujaowaa kwanini,usawishikee na kutamani mke wa m2 kwa mavazi yake.....UZIZIIII TU
 
Mdau wanawake ni viumbe waajabu sana!Yaani maamuzi yao wanayajua wenyewe ukiwafuatilia utapata head-ache bure!!Binafsi mke wangu akifanya hivyo atajuta kunifahamu!!
 
Zichungen hisia zenu, zitunzen ndoa zenu!Law has no xcuse, umeoa umeolewa cha mhm muheshm mkeo/mmeo!Twacheni kutaftiza vji7bu vya kutegana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…