Shule za advance

Daren Dedan

Member
Joined
May 6, 2014
Posts
10
Reaction score
2
Ili mtu apangwe advance special school combi za science lazma apate DISTINCTION ya ngapi na grade gani kwenye masomo ya combi?
 
Daah mimi nimesoma zamani kabla huu mfumo wa GPA haujaanza lakini wakati wetu( ni juzi tu miaka minne iliyopita) ili uende special school mara nyingi uwe na Division 1 ya 13 na. AAA au AAB kwenye masomo ya mchepuo unaoutaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…