Hiyo siyo shule ya kata mkuu,utakuwa huijui vizuriHii na kati ya shule za kata bora kabisa Tanzania,nadhani kwa shule za kata inaongoza Tanzania,kinachoifanya iwe kifua mbele kila mwaka bila shaka ni adhabu hizo wanazopewa wanafunzi,kuna pepo limeingia kinataka kuvuruga hiyo shule kitaaluma,hivi kama mnachapwa na mwisho wa siku matokeo yakitoka waliofeli wana division 2 kuna ubaya gani? Mwalimu akihamua kuwadekesha mnavyotaka walah shule yenu itakuwa kama shule nyingine za kata ninazozijua