Shule ya Msingi daraja mbili inawaka moto

Shule ya Msingi daraja mbili inawaka moto

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,715
Reaction score
59,249
Shule ya Msingi dalaja mbili Arusha inawaka moto. chanzo cha moto bado haijajuliakana.
attachment.php
 

Attachments

  • IMG-20151205-WA0001.jpg
    IMG-20151205-WA0001.jpg
    12.1 KB · Views: 1,082
Fire ni tatizo bado la sehemu nyingi kwa kas ya maguful aagize tu magar ya washawasha yatoe msaada kwenye matukio kama haya maana kaz yaliyo nayo hayaendan na tz ya magufuli kwakwe ni kaz tu sio jengine
 
Daraja mbili ni karibu sana na kituo cha fire... Kama awaja fanya kitu basi tena awana umuhimu
 
watoto wa ungaleloo washatia shule kiberiti, hapo ungalimited kila mtu ni mtata, mama, baba, dada, kaka n shda kwa pamoja. hl eneo n la kumulikwa sana
 
hili tatizo la moto kujitokeza, mara kwa mara. limeasili sehemu mbali mbali, na sjajua mbinu ipi ifanyike.
 
lema aliacha kampeni au mbona. cmwoni hapo mkuu nahisi kuna haja ya halmashauri kuanza kuweka ulinzi kwenye shule zetu na sio wazazi kuambiwa toa hela ya mlinzi wahalifu ukibahatika kuongea nao kwa Mzee Wa upako au njia panda waulize nini nia yao hasa
 
Back
Top Bottom