Fika Mbezi mwisho, kanisa la Roman C, Pale kuna shule ya mchepuo wa Kiswahili darasa la kwanza mpaka la sabaWakuu Mimi Nina mtoto wangu anakaribia kuanza Shule...Nilikuwa napendelea asome Shule ya binafsi ya msingi yenye matumizi ya lugha ya kiswahili, maana naona Shule nyingi ni lugha ya kingeleza..je kuna Shule ya kiswahili unayoifaham?
nonsense, mleta mada amataka kufahamu shule ya private mchepuo wa Kiswahili na si dini Fulani. Hivo am doubting your level of reasoningHehe wewe huabudu kimalikia mkuu? Angalia mwanao asije akawa nje ya silabasi!
Kujiamini ni kuwa na pesa tu mkuu, na pesa pia muda mwingine zinaabudu kimalikiaMkuu, kingereza ni lugha kama kilivyo kiswahili so ni lazima tuwajengee watoto kujiamini na chao
Usishangae hata usahili wa kuwapata wataalamu na wabobezi wa kiswahili ikafanyika kwa kiingereza ni kwa sababu inaitwa lugha ya biashara kwa hiyo kuwa nayo ni muhimu hata kama ni mkulima kama mimiMkuu, kingereza ni lugha kama kilivyo kiswahili so ni lazima tuwajengee watoto kujiamini na chao
Haimaanishi kusoma Shule ya mchepuo Wa kiswahili hakutakuwa na somo la English..sisi tulisoma Shule hizohizo za kiswahili tunakua englishUsishangae hata usahili wa kuwapata wataalamu na wabobezi wa kiswahili ikafanyika kwa kiingereza ni kwa sababu inaitwa lugha ya biashara kwa hiyo kuwa nayo ni muhimu hata kama ni mkulima kama mimi
[quote uid=364666 name="daudthefarmer" post=22095764]Usishangae hata usahili wa kuwapata wataalamu na wabobezi wa kiswahili ikafanyika kwa kiingereza ni kwa sababu inaitwa lugha ya biashara kwa hiyo kuwa nayo ni muhimu hata kama ni mkulima kama mimi[/QUOTE]<br />Haimaanishi kusoma Shule ya mchepuo Wa kiswahili hakutakuwa na somo la English..sisi tulisoma Shule hizohizo za kiswahili tunakua englishWakuu Mimi Nina mtoto wangu anakaribia kuanza Shule...Nilikuwa napendelea asome Shule ya binafsi ya msingi yenye matumizi ya lugha ya kiswahili, maana naona Shule nyingi ni lugha ya kingeleza..je kuna Shule ya kiswahili unayoifaham?
<br />Haimaanishi kusoma Shule ya mchepuo Wa kiswahili hakutakuwa na somo la English..sisi tulisoma Shule hizohizo za kiswahili tunakua english[quote uid=364666 name="daudthefarmer" post=22095764]Usishangae hata usahili wa kuwapata wataalamu na wabobezi wa kiswahili ikafanyika kwa kiingereza ni kwa sababu inaitwa lugha ya biashara kwa hiyo kuwa nayo ni muhimu hata kama ni mkulima kama mimi
We mburula kweli, kwani Shule za kayumba hazina somo la kingelza? Au Hata za binafsi za kiswahili, hawana hilo somo?[/QUOTE]<br />Haimaanishi kusoma Shule ya mchepuo Wa kiswahili hakutakuwa na somo la English..sisi tulisoma Shule hizohizo za kiswahili tunakua english
Naona unajikanganya mkuu. Anyway ngoja iwe ivo.
Je ya boarding?Fika Mbezi mwisho, kanisa la Roman C, Pale kuna shule ya mchepuo wa Kiswahili darasa la kwanza mpaka la saba