Shule gani nzuri za English Medium Singida.

Shule gani nzuri za English Medium Singida.

Hepatis B

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2013
Posts
207
Reaction score
166
Habari za mda huu wana jamvi samahani naulizia ni shule gan nzuri za primary English medium singida. Nimepata uhamisho huko na maisha kiujumla nataka kufahamu. Asanteni sana.
 
Abert iko maeneo ya masai ina kindergarten hadi kidato cha nne, nyingine ni Lake schools iko maeneo ya Manguanjuki karibu na lile ziwa kama unaenda Mwanza.
.
Nayo ina kindergarten hadi kidato cha sita
 
Abert iko maeneo ya masai ina kindergarten hadi kidato cha nne, nyingine ni Lake schools iko maeneo ya Manguanjuki karibu na lile ziwa kama unaenda Mwanza.
.
Nayo ina kindergarten hadi kidato cha sita
Asante mkuu vipi na nyumba maeneo hayo naweza kupata karibu na shule?
 
HIVI ENGLISH MEDIUM ni nn ?
Habari za mda huu wana jamvi samahani naulizia ni shule gan nzuri za primary English medium singida. Nimepata uhamisho huko na maisha kiujumla nataka kufahamu. Asanteni sana.
 
Upendo ya kikatoliki, malkia wa ulimwengu iko unyinga, kuna maasai, kuna lake, zote ni nzuri na ndio huuongozaga kiufaulu singida
 
Upendo ya kikatoliki, malkia wa ulimwengu iko unyinga, kuna maasai, kuna lake, zote ni nzuri na ndio huuongozaga kiufaulu singida
Asante mkuu! Nashukuru nyumba za kupanga size ya kati zinatembea ngapi?
 
Asante mkuu vipi na nyumba maeneo hayo naweza kupata karibu na shule?
Inawezekana ila sio karibu sanaa kuna eneo linaitwa Airport ndio kuna nyumba nzuri na liko karibu na hiyo Abert ila ni lazima awe anaenda na bus la shule
 
Back
Top Bottom