KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,181
- 17,174
Unao uhakika yeye mwenyewe utamaduni wenu huo aliuthamini?mlishaomba kifo tuachen wenyewe na msiba wetu.mkae mkijua tuna utamadun wetu watanzania
Sipati picha hamna hata pakukimbilia yaani, unaweza hadi chukua, kamba, the hero of Africa has gone.Nasikia wanatafakari kuahirisha mazishi ili iwe Ijumaa ijayo waendelee kutumbua fedha za umma kwa kuzungusha mwili wa mwenzao kama maandazi ya jana vile yaliyonunulika.
Sipati picha hamna hata pakukimbilia yaani, unaweza hadi chukua, kamba, the hero of Africa has gone.kama Maandazi yasiyonunulika. Ni kuzungusha mtaani kwa kwenda mbele.
Mobutu alipolala walichinja Tembo ishirini na maombelezo mwezi mzima huku vibloga uchwara vikiiisifia mifupa mwaka mzima
Kaondoka na huzuni sanaView attachment 1733328View attachment 1733329
Zikishakuwa nusu mlingoti halafu nini kitafuata baada ya hapo?Sipati picha hamna hata pakukimbilia yaani, unaweza hadi chukua, kamba, the hero of Africa has gone.
Bendera za UN zitakua nusu mlingoti
Mobutu alipolala walichinja Tembo ishirini na maombelezo mwezi mzima huku vibloga uchwara vikiiisifia mifupa mwaka mzima
Tangulia baabaKila nikikumbuka 1.5 Trillion nasema nenda tu.
katika vitu nilikua naburudika ni pamoja na yeye
kusimama njian na kutatua kero za watu papo kwa papo yaan haina barua wala mchakato.
1.)kula vitu vya wajasiriamali wadogo kama mahindi,madafu na kahawa.yaan hawa wengime sijawah kuwaona wakinywa hata seuze maji tu ya chupa.
2.)kuwa na taarifa kamili ya eneo analoenda na kuyasolve palepale matatizo yao au maombi yao mfano Temeke waliomba eneo la Tba kumbe walijichanganya aliwakatalia palepale kuliko kuwa mnafik watume barua wakae na hope ya kusubiria majibu hapana anawapa kweli yao palepale kila mmoja anaondoka anajua anaenda kufanya nini
3.) kujua kila senti ya nchi ipo wap na anaipangia matumizi kwa hakika hapa aliwashinda woteeeeeeee.
Lita moja ya mafuta jana nimeulizia 5500...lita tano ni 29000...kutoka 3000 kwenda 5500 jamani ....Magufuli ni rais aliye wanyonga wanyonge
Bomoa nyumba.
Kufumuka kwa bei sukari cement.
Kutoajiri
Kutokuongeza mishahara
Kufilisi biashara, kuua viwanda,
Kilicho mkasirisha Sana mungu ni kile kitendo cha kuiba kura na kutaka kujiongezea muda wa kutawala eti mitano tena, Mungu akiwa na malaika wakashauriana wakasema ngoja tumkatie umeme kwenye moyo
Kuanzia kesho tarehe 26/03/2021, MATAGA mtaishi maisha magumu sana. Muanze mapema kujifunza maisha ya kujitegemea na kula kwa jasho kama sisi wenzenu.RIP JPM tutakuenzi kwa vitendo, umetufundisha kujituma tutajituma baba, hakika uliishika moyo yetu ikajawa na tumaini la kujituma kufanya kazi, umetufundisha kuwa jasiri tutakuwa jasiri kila tupitapo. Umetufundisha kutafuta maisha ya halali tutafanya hivyo.
subiri vikao vya Gamboshi vimalizike hakika mtaomba ardhi iwafunike mjifiche ila itawakana.Kuanzia kesho tarehe 26/03/2021, MATAGA mtaishi maisha magumu sana. Muanze mapema kujifunza maisha ya kujitegemea na kula kwa jasho kama sisi wenzenu.
Huko mnako elekea sidhani kama hamtakufa njaa iwapo mtaendelea kuishi kwa kutegemea unafiki, mapambio, ngonjera, uchumia tumbo, nk.
Ukishakufa ndiyo basi tena! Hakuna cha vikao wala nini. Hatimae siku tuliyo ingojea imewadia. Kesho ndiyo kesho!subiri vikao vya Gamboshi vimalizike hakika mtaomba ardhi iwafunike mjifiche ila itawakana.
ExactlyEeenh Heee!
Magufuli angependwa sana kwa baadhi ya mambo, lakini kukosa ubinaadam na kiburi chake viliharibu mazuri na sifa yake.
Hivi alikuwa na stress za nini? Maana mwishoni alikuwa mpole mno tena sura ilionesha kachoka hasaKaondoka na huzuni sanaView attachment 1733328View attachment 1733329
Jamaa alishatangaza nia ya kuwaongoza malaika! Ni muda wa kampeni huu!hizi Kampeni mnazopiga humu huko akhera kuna uchaguzi?