Katibu Mkuu
JF-Expert Member
- Jul 16, 2025
- 460
- 102
Asalam aleykum.
Kwa siku za karibuni ameibuka mtu mmoja aitwaye Shughuru huku akiwa na mbwembwe za kuutaka U-Rais wa nchi yetu.
Sio jambo baya kwa mtu mwenye maono kupigania maono yake, lakini ni busara kujua anatumia njia gani kufikia maono yake.
Mimi nataka nimshauri bwana huyu, kwanza atafute chama sahihi, pili ajipange kiuchumi.
Sasa mimi natoa ushauri kwa Shuguru, hamia CHADEMA kule ukaanze nao malengo ya wewe kwenda Ikulu
Shughuru umekua unatoa ahadi za uongo sana, na hivyo unaofanana nao ni chadema, kule kuna kiwanda cha uongo, na hakika utapokelewa upitishwe ufipa hadi mikocheni, utaimbwa kwa mapambio huku ukipewa ukamanda ambao hata mita 5 huwez kukimbia kama tapeli Heche na Lema.
Pambalu atakupigania kwa jasho na damu, Erythrocyte atakupamba JF, ghafla utapewa mkebe wenye karatasi ya Matusi ili utukane sana maana ndio sifa ya wenzako huko.
Huu ndio ushauri wangu kwako, nielekee kuswali sasa.
Kwa siku za karibuni ameibuka mtu mmoja aitwaye Shughuru huku akiwa na mbwembwe za kuutaka U-Rais wa nchi yetu.
Sio jambo baya kwa mtu mwenye maono kupigania maono yake, lakini ni busara kujua anatumia njia gani kufikia maono yake.
Mimi nataka nimshauri bwana huyu, kwanza atafute chama sahihi, pili ajipange kiuchumi.
Sasa mimi natoa ushauri kwa Shuguru, hamia CHADEMA kule ukaanze nao malengo ya wewe kwenda Ikulu
Shughuru umekua unatoa ahadi za uongo sana, na hivyo unaofanana nao ni chadema, kule kuna kiwanda cha uongo, na hakika utapokelewa upitishwe ufipa hadi mikocheni, utaimbwa kwa mapambio huku ukipewa ukamanda ambao hata mita 5 huwez kukimbia kama tapeli Heche na Lema.
Pambalu atakupigania kwa jasho na damu, Erythrocyte atakupamba JF, ghafla utapewa mkebe wenye karatasi ya Matusi ili utukane sana maana ndio sifa ya wenzako huko.
Huu ndio ushauri wangu kwako, nielekee kuswali sasa.