joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,174
- 31,753
Ipo ila haipo ktk zinazotrend kwa Tanzania,itafute kwa kuiandika jina lake youtube kama sikosei mpaka sasa ina 895+K.Mbona video ya kiba aionekani au imeondolewa?
Ipo ila haipo ktk zinazotrend kwa Tanzania,itafute kwa kuiandika jina lake youtube kama sikosei mpaka sasa ina 895+K.Mbona video ya kiba aionekani au imeondolewa?
Watu bhana...
Wewe umejuaje kama amemlenga ALIKIBA,labda kamaanisha clouds media na wafanyakazi wake..?
Wewe unajuaje..?
Ila kwa kipindi hiki Diamond akifanya jambo lolote itaonekana anamlenga ALIKIBA,naona inabidi Diamond ajifungie ndani kwake kwa muda..!
Na kuna kila dalili ya WCB kuachia kazi mpya hivi karibuni,sasa sijui itakuaje aisee..!
Kabisaaaa kabisaaaHuyu jamaa nilijua hawezi kukaa kimya kweli mswahili ni mswahili, ila safari hii kajitahidi kuvumilia
Kwnza hawez mswahil sanahuyu angekaa kimya angelipuka niamini mimi
Jamaa hajuagi kunyamaza, anapenda zengwe kama Haji Manara wa Simba.
Naanza na kunukuu
"Kuna watoto wanaotaka ligi na wcb tumewachununia zimebuma" mwisho wa kunukuu
Hayo ni maneno ambayo ameyatoa diamond baada ya kuperfom katika shoo ya kwanza ya mboso tangu asajiliwe na wakal hawa wa burudan Tanzania
Mara baada ya kauli hiyo iliibuka shangwe kubwa kutoka kwa mashabiki
Kisha akawauliza wamefel hawajafel
Wamefeliiiiiiiiii
Haya sasa japo hajatajwa mtu ila inajulikana tu nan kasemwa hapo
Huenda YouTube viewers zikaongezeka leo baada ya dongo hili
Asnten
Check video hapo
Issue ya zari kukaa kimya mpaka leo na sio kawaida yake.kamuheshimu sanaHuyu jamaa nilijua hawezi kukaa kimya kweli mswahili ni mswahili, ila safari hii kajitahidi kuvumilia
Unahasira kakajitu zima lina ndevu miiba, baba watoto anayekaribia kuletewa posa ya binti yake miaka c. mingi una.mchukulia kuwa yy ndio mtoto aliyesemwa na mond! kama yy ndio mtoto basi kazi mnayo kwenye pori la simba.
Yaah Lulu ndio anatrend no 1 sasa hivi. Daaah, poor King Kiba jamani.hii ngoma itazolewa na upepo wa kutoka gerezani lulu
bonge moja la ngoma ndani kuna the goddess herself rosa ree,Country boy, hatari sana hiyo ngoma...crank flani kwa mbaaaaliiiiPOCHI NENE REMIX coming