Leo TRL wameahirisha Safari ya garimoshi liendalo Kigoma na mwanza "kwa sababu zisizozuilika" sawa lakini je namba za simu za wasafiri watarajiwa mnazochukua wakati wa kukata tikiti nini matumizi yake? Nilitarajia ni wakati Kama huo ambapo Safari inaahirishwa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.