Shikamoo Kamikaze

Dejane

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
51,002
Reaction score
72,284
Nimeona mmeleta wasanii wanaovutia ,kwenye listi yooote mliyoweka huyu kaka hakuna anaemfikia hata robo
,au mna makengeza mnaweka kin diamond wana midomo ya kumeza chapati sita unatuambia anavutia?watu wana pua kama mme wa shamsa ford useme wanavutia,jux ana mvuto gani kwa mfanooo,



Naomba mumuone huyu kaka aisee popote alipo salute Mungu fundi aisee
Huyu kaka analika aiseee haku a kujiuliza wala kujishauri
Muangalie macho,mdomo,pua paji la uso,kifua cha wastaniii,nywele
uhuuuuuuuuuuuu



We kaka uliko huko Mungu anakuona jamani acha kunitesa mie


halaf una macho kama ya mtu fulani nimemuona kapita

 


Sasa ungeniona mimi si ndio ingekuwa balaa, maana hanifikii hata chembe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…