Majuzi nilimtembelea rafiki yangu mmoja, amenunua mashine ya kudarizi 30m, nilimkuta anaweka nembo kwenye mashati 30, lakini malipo aliyopata ni shilingi 60,000/=; kwa mazingira hayo kama huna nidhamu ya pesa, unaweza kuhisi hiyo milioni 30 aliyowekeza kwenye mashine imepotea.