Kalamu Nzito
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 318
- 663
Pole sana, ila usikate tamaa, ni kupambana na kumwomba Mungu pia!2024 niliweka malengo ya biashara.. aisee nimepigwa na fataki
Pesa umenywea smirnoff au2024 niliweka malengo ya biashara.. aisee nimepigwa na fataki
Ungeongeza maelezo kwenye uzi upewe muongozo mkuuWakuu
Wale mliofanikiwa kuanzisha biashara zenu na zimedumu mpaka sasa SHIKAMOONI WAKUBWA. Hili game sio la kitoto for beginners.
Ni umri gani sahihi wa kuanza biashara mkuu.?Na hasa ukianza biashara umri umekwenda.
Biashara inahitaji uvumilivuWakuu
Wale mliofanikiwa kuanzisha biashara zenu na zimedumu mpaka sasa SHIKAMOONI WAKUBWA. Hili game sio la kitoto for beginners.
Ukute ni kontena la miti ya Xmas ndo limeingia Feb hii 🤓 Xmas ishapita, na nyingine bado iko mbaliMkuu andika fresh bas tuelewe, unatutisha
This matters yeahTatizo ni aina ya biashara
Nilikwambia hukutaka kusikia🥲😂😂2024 niliweka malengo ya biashara.. aisee nimepigwa na fataki
MmhTatizo ni aina ya biashara
Guna tu
Mkuu umevuna hasara ama ni nini tujuzane kidogo.2024 niliweka malengo ya biashara.. aisee nimepigwa na fataki