MLALUKO JR
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 962
- 309
NYUKI UMENING'ATA
Ewe nyuki, ewe nyuki, ewe nyuki. Itika nakuita. Kwanini lakini ewe Nyuki?
Umenifanya niumie, niteseke, niweweseke. UNANIONEA.
Asali ninaonja, kidogo na si sana. NAFURAHIA. Ila kwanini unidunge?. Unidunge kwa sindano?. Sindano kali ya uchungu. UNANIONEA.
Kwa ufundi waitengeneza, kwa maringo waikoroja, kwa machejo waipakuwa. MMMH!HATARI
Imenifanya niwe mtumwa, mateka, zezeta, punguwani na nusu ya hayawani. UMENITEKA.
Si kwa amani si kwa furaha. SIKAI niikikosa asali. NIMEKAMATIKA. Muhanga nimejitoa, BETRI UMECHOMOA. Nimekuwa teja asali kuikosa. Inanipa AROSTO kuiokosa bora NIKUFE, NIZIKWE.
Kila nitembeapo pua zangu zinaitizama na kufurahia harufu yako na ya asali yako. NIPEWE NINI?
Usiitoe hadharani, ifiche abadani. INIFAE. Nijilambe vidole kwa Utamu nivikate. NIFURAHIE!
Usinipimie kibaba usikitumie. NIJICHOTEE. Nikitosheka nibeue nishushie na harwa na si tende. NIJIDAI.
*Mtunzi: Rajabu Mlaluko (MD)*
+255 753 93 86 28
Ewe nyuki, ewe nyuki, ewe nyuki. Itika nakuita. Kwanini lakini ewe Nyuki?
Umenifanya niumie, niteseke, niweweseke. UNANIONEA.
Asali ninaonja, kidogo na si sana. NAFURAHIA. Ila kwanini unidunge?. Unidunge kwa sindano?. Sindano kali ya uchungu. UNANIONEA.
Kwa ufundi waitengeneza, kwa maringo waikoroja, kwa machejo waipakuwa. MMMH!HATARI
Imenifanya niwe mtumwa, mateka, zezeta, punguwani na nusu ya hayawani. UMENITEKA.
Si kwa amani si kwa furaha. SIKAI niikikosa asali. NIMEKAMATIKA. Muhanga nimejitoa, BETRI UMECHOMOA. Nimekuwa teja asali kuikosa. Inanipa AROSTO kuiokosa bora NIKUFE, NIZIKWE.
Kila nitembeapo pua zangu zinaitizama na kufurahia harufu yako na ya asali yako. NIPEWE NINI?
Usiitoe hadharani, ifiche abadani. INIFAE. Nijilambe vidole kwa Utamu nivikate. NIFURAHIE!
Usinipimie kibaba usikitumie. NIJICHOTEE. Nikitosheka nibeue nishushie na harwa na si tende. NIJIDAI.
*Mtunzi: Rajabu Mlaluko (MD)*
+255 753 93 86 28