kedrick
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 5,286
- 5,274
Ni week ya tatu sasa wananchi wanalia shida ya maji maneneo ya Buhongwa jijini Mwanza na hii changamoto ya maji haijawahi kutatuliwa huku idadi ya wakazi inazidi kuongezeka kila siku je tunangojea mlipuko wa kipindu pindu maeneo ya sokoni ndo tujue umuhimu wa maji.
Chakushangaza ni kuwa serikali ipo na inaendelea kuvuta maji ya ziwa viktoria kuyapeleka dodoma na mikoa ya jirani huku wananchi wa jiji la mwanza maji bado hayajitoshelezi.
Meneja wa (MWAUWASA) Eng. Leonard Msenyele yupo ofsini
Mbunge wa Nyamagana Stanslaus Mabula yupo
Waziri wa maji Jumaa Hamidu Aweso yupo
Naibu waziri wa maji Maryprisca Mahundi yupo
Tuwangojee mwaka 2025 mje na sera ya kusambaza maji tena.
Chakushangaza ni kuwa serikali ipo na inaendelea kuvuta maji ya ziwa viktoria kuyapeleka dodoma na mikoa ya jirani huku wananchi wa jiji la mwanza maji bado hayajitoshelezi.
Meneja wa (MWAUWASA) Eng. Leonard Msenyele yupo ofsini
Mbunge wa Nyamagana Stanslaus Mabula yupo
Waziri wa maji Jumaa Hamidu Aweso yupo
Naibu waziri wa maji Maryprisca Mahundi yupo
Tuwangojee mwaka 2025 mje na sera ya kusambaza maji tena.