LEO VII
Senior Member
- Feb 7, 2013
- 118
- 33
''SHETANI KAMSHINDA MUNGU TZ?
Angalia. Mafisadi Hawakamatwi,
Wauza madawa ya kulevya wanatamalaki,
Majangili Yanaongoza wanachama,
Elimu Inadorora,
Mahakama zinahujumiwa,
Rushwa imetawala,
Ajira kwa vijana ni janga,
Udini uanakua kwa kasi,
Maliasili zinaporwa..(masikini twiga wetuu..)
Ugumu wa maisha unaongezeka kila kukicha...Duuu!!!
Eti jamani, MUNGU Ameruhusu haya au amekimbizwa na mkali Ibilisi bin Shwehetwaaannnn. teh teh tehee. Ok, Tuwe serious, mambo haya si bayana hapa tanzania? kama ndivyo je! si ya kishetani, kwa hiyo...Tunaongozwa na ama Shetani au wafuasi wake..naomba kurekebishwa...
Angalia. Mafisadi Hawakamatwi,
Wauza madawa ya kulevya wanatamalaki,
Majangili Yanaongoza wanachama,
Elimu Inadorora,
Mahakama zinahujumiwa,
Rushwa imetawala,
Ajira kwa vijana ni janga,
Udini uanakua kwa kasi,
Maliasili zinaporwa..(masikini twiga wetuu..)
Ugumu wa maisha unaongezeka kila kukicha...Duuu!!!
Eti jamani, MUNGU Ameruhusu haya au amekimbizwa na mkali Ibilisi bin Shwehetwaaannnn. teh teh tehee. Ok, Tuwe serious, mambo haya si bayana hapa tanzania? kama ndivyo je! si ya kishetani, kwa hiyo...Tunaongozwa na ama Shetani au wafuasi wake..naomba kurekebishwa...