Sheria ya kuoa single mama...

Umeandika upuuzi mrefuuu.... Najishangaa kwa Nini nimefungua huu Uzi wa kipuuzi kiasi hiki.......
 
Mkuu unayumba mwanzo tu ulipoanza kusema wenye attitude ni vijana ambao hawajaoa na si ndio wanatakiwa kuoa?
Na hakuna namna yakukatisha mawasiliano Kati ya wazazi wawili Kuna shida nyingine lazima waongee wenyewe usiwashiwashi vijana wabichi ambao bado hawajaoa wajiingize matatizoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…