uduzungwa
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 552
- 544
Wanajamvi salama.
Naomba mwenye ujuzi kuhusu sheria ya insurance ya gari inapoisha inatakiwa ikatwe tena baada ya kuisha.
Ina mda kdg baada ya kuisha kwa ajili ya kulipia nyingine?
Naomba kuwasilisha.
Hawa wazee wa fedha wanatutesa sana kwa vile hatujui sheria.
Naomba mwenye ujuzi kuhusu sheria ya insurance ya gari inapoisha inatakiwa ikatwe tena baada ya kuisha.
Ina mda kdg baada ya kuisha kwa ajili ya kulipia nyingine?
Naomba kuwasilisha.
Hawa wazee wa fedha wanatutesa sana kwa vile hatujui sheria.