sheria moja ya msituni unakula ukiwa na njaa tuu

sheria moja ya msituni unakula ukiwa na njaa tuu

i411

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
906
Reaction score
297
hii picha ili chukuliwa huko Kenya Masai Mara October mwaka jana, na mpigapicha Denis-Huot

alisema alikuwa anawafuata hawa chita watatu walioachwa na mama yao miezi 18 iliyopita 'Aliwafuata sikumoja asubuhi wakiwa wanacheza cheza katika matembezi yao na walikuwa kama wameshiba. Katika pitapita zao wakawaona swala na wao wakaanza kukimbia. wakawafuata wakashika kiswala kimoja hakiweza kuwashinda kukimbia.

Kilichofuatia yalikuwa maajabu hayo hapo chini lol…..

mime-attachment-2.jpeg

mime-attachment-1.jpeg

mime-attachment.jpeg

mime-attachment-3.jpeg


Alafu hao chita wakaondoka walivyochoka kucheza na huyo kaswala bila kumdhuru
 
binadamu tungekuwa tunakula pale tunapopata njaa tuu nadhana hakuna ambaye angekuwa na kitambii, magonjwa ya moyo na mambo ya kisukari yangepungua
 
binadamu tungekuwa tunakula pale tunapopata njaa tuu nadhana hakuna ambaye angekuwa na kitambii, magonjwa ya moyo na mambo ya kisukari yangepungua
Mkuu kuna vitambi vya umaskini,unavijua?
 
hivyo vya kwenye kifua mbona vinaanziaga utotoni, nasema vile kama wanakaribia kuzaa hivi akipata tuu kapost fulani
 
binadamu tungekuwa tunakula pale tunapopata njaa tuu nadhana hakuna ambaye angekuwa na kitambii, magonjwa ya moyo na mambo ya kisukari yangepungua


Umesahau UFISADI mtu wangu
 
Umesahau UFISADI mtu wangu
hata bila kuwa mfisadi lakini wanadamu tunajua kujipendelea mtu akipata hela kidogo tuu lazima ahakikishe mambo ya mlo mchana ni draft yaani kawali na nyama mchuzi pembeni, kamchicha, kajuice alafu sahani zote zimejazwa mpaka juu alafu zinashuswa zote. alafu anaongeza eti dessert mambo ya ice cream au ka keki. kwa mpango huu si unajitakia kuwa doli la michelini
 
Mh! swala amewapiga kiswahili mpaka wamemsare! lol
 
Back
Top Bottom