Sheria inasemaje kuhusu mgombea kujitoa kwenye uchaguzi

Aaron

JF-Expert Member
Nov 18, 2010
3,019
4,693
Wana bodi
Ni siku kadhaa chama cha CUF kimejiengua kwenye uchaguzi unao tarajiwa kurudiwa hivi karibu..

Lakini hapo mwanzo ndugu jecha ambaye ni mchezaji..refa na kocha.. amesema wagombea ni walewale yaani hakuna mabadiliko yoyote ya wagombea..

Pia cuf wametoa onyo kwa tume ya uchaguzi zenji kuhakikisha katika karatasi za wapiga kura hakuna jina la mgombea wao..


Kisheria hii imekaaje...?? Je tume inaweza kulazimisha kuweka jina lake na likapigiwa kura??
 
wanatafuta legitimacy ya kuweka wagombea wa cuf halafu waseme wananchi waliwapigia kura watajaza wazitakazo
 
Hata wakijaza majina ya wagombea wa cuf lakin naamini kuna taratibu zingine huangaliwa kama chama fulani kimeshiriki uchaguzi.
 
Jecha na team yake ya ccm 2anajikaanga na wanaikaanga jamhuri yote sababu wanaona wana nguvu lakini watakuja juta dunia inaqaangalia tu wasione wamesahau watakapo pata mkongoto wa dunia ndio watakapo jua nazi ni chicha au kifuu
 
Back
Top Bottom