Sherehe za miaka 47 ya Muungano

viwanja vya aina hii huchukua watu 8000 mpaka 10000, hata hivyo uwanja ulikuwa na wanafunzi wengi....
 
JK anaingia uwanjani.
Yuko kwenye gari la wazi pamoja na CDF mwamunyange, wanazunguka uwanja na kushangiliwa kwelikweli!


Ningekuwa ni mimi ni mmojawapo wa washauri wa Kikwete basi ningelimshauri wakati anaingia uwanjani na gari la wazi pembeni mwake awepo Rais wa Zanzibar- Shein. Na kama ni lazima basi Mwamunyange angekaa seat ya nyuma ya hawa viongozi wa nchi mbili zilizoungana. A missed opportunity if you ask me.
 
Hii ingekuwa na maana kama Tanganyika tungekuwa na rais wetu na zanzibar...mfano Kikwete ndiyo rais wa Tanganyika na shein rais wa Zanzibar....
 
Hii ingekuwa na maana kama Tanganyika tungekuwa na rais wetu na zanzibar...mfano Kikwete ndiyo rais wa Tanganyika na shein rais wa Zanzibar....

Practically speaking mambo yako hivyo kwa sasa hivi. Baada ya merekebisho ya katiba ya Zanzibar Shein anaweza kufanya mambo mengi tu ya msingi bila kibali cha Rais wa Muungano i.e kugawa Mikoa.
 
Jamani watu mlioko zenji tunasubili update kutoka kwenu,Hotuba ya mkuu wa magamba inasemaje?
 
Imekuwaje mbona Station zote za TV zimekata ghafla matangazo live ya sherehe za muungano toka Zanzibar? Kunani kimetokea?

TV zetu matangazo 'LIVE' wanarusha kutegemea satellite, mvua ilipoanza kunyesha transmision zikakatika. Jamaa wa radio waliendelea hadi mwisho na halaiki ilipendeza sana. Naambiwa leo saa 3 usiku wataweka marudio; 'recorded' fuatilieni.
 
amesema kiuchumi Tanganyika wako juu hivyo wanapaswa wawasaidi upande wa pili ili walingane kiuchu anasema vijana wa Tanganyika wako vizuri kiuchumi wakati vija wa zenji wako hoi...........

Sasa kakosaje aliposema wanaburuzwa?
 
Kakalende!
Mbona hatujapata updates nini kiliendelea tena?
Vp JK kahutubia au ndio imepigwa kimyakimya kama ilivyotabiliwa?
Tujuzeni wanaNzengo!
 
Hii ingekuwa na maana kama Tanganyika tungekuwa na rais wetu na zanzibar...mfano Kikwete ndiyo rais wa Tanganyika na shein rais wa Zanzibar....


Hivyo ulivyosema ni kweli hasa! Kikwete ni Rais wa Tanganyika na ndio maana akashindwa kuhutubia kule Zanzibar!
 
Leo kutakuwa na show ya makomandoo stay tuned mtu arekodi tuweke hapa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…