Mimi nahisi wananiibiaga ila sijui wananiibiaje,Kuna siku nimeweka ya elfu 15 nimeenda 12km wese limekata nikatia mafuta ya kibubu gar ikatembea ndo nilipogundua nimepigwa
Hapa ndipo tunakosea ,Mungu amekupa akili ili uweze kupigania haki yako pale ambapo unakua umeonewa ,Lakin kila wahalifu na watenda mabaya tunasema tunamwachia Mungu.
Hapa ndipo tunakosea ,Mungu amekupa akili ili uweze kupigania haki yako pale ambapo unakua umeonewa ,Lakin kila wahalifu na watenda mabaya tunasema tunamwachia Mungu.