Shein: Zanzibar itakuwa kama Dubai

MpigaFilimbi

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2008
Posts
1,169
Reaction score
188


Sasa anayeahidi ni Shein, huyu ambaye ni Rais wa sasa wa Zanzibar, kama wapiga kura wa Zanzibar wana akili timamu inabidi apate kura za familia yake na watu wa Kisiwandui pekee.
 
Mkuu, hizo ni ahadi za Magufuli

Kaamua kupiga mgombea binafsi, basi anapiga sound kuliko JK

Kila kona anaahidi
 
kauli hii iisemwa tangu enzi za salmini, mpaka leo iko vile vile
 
Mkuu, hizo ni ahadi za Magufuli

Kaamua kupiga mgombea binafsi, basi anapiga sound kuliko JK

Kila kona anaahidi

yaani, hizo ahadi ndio nafikiria pesa itapatikana wapi, manake zishavuka mia na zote ni pesa nene
 
yaani, hizo ahadi ndio nafikiria pesa itapatikana wapi, manake zishavuka mia na zote ni pesa nene

Magufuli atatandika lami DAR hadi Zanzibar na ashapata mkandarasi wa hili daraja MPENI TU KURA ZENU

NA OLE WAKE WAZIRI ATAKAYEKUWA WA UJENZI ASHINDWE HII KAZI!
 
kwanini mtu unasema vitu kama uko usingizini? kwani huyo Dubai ilijengwa kwa miaka mi5? asiahidi kitu asichoweza kukifanya............
 
Ahadi za ccm nikama vile uchawi uchawi tu, sasa mtu ulikuwa madarakani na bado upo madarakani, muda wote umeshindwa kufanya hayo mpaka uje useme mkinichagua nitafanya hivi na hivi ? kwanini usingeyafanya kabla alafu ukasema mliponichagua nilifanya haya na haya, sasa nichagueni nifanye makubwa zaidi ya haya. tosha kabisa bila kutoa ahadi mpya yoyote na unaendeleza utawala kiulaiiini tu.
Ukiona chama tawala kinatoa ahadi nyingi ujue kinaogopa kutoswa, kinatumia ahadi kama hongo, mnichague kwanza ndo niwafanyie hiki na hiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…