Hio mifano uliotoa ni kesi za kipuuzi na kila sehemu zipo.Ni hivi waliojaa jela na mahabusu wengi wao ni wenye elimu ndogo na hili kundi hadi mashehe na maostadh wanaingia nayaongea haya kwasababu nimezaliwa na kuishi katika jamii hizo..hebu nikutolee mfano imewahi kutokea mtwara mjini alifika shehe akawa anahamasisha msikitini waislamu wachange pesa wakanunue silaha waliokachanga walichanga na ambao hawakuchanga waliondoka zao hatimaye wale wote waliokachanga mpaka leo hatujui waliko kwasababu wote walipotea usiku mmoja,pia hapahapa mtwara kwenye huu msikiti wa sokoni pembeni yake kuna bar moja inaitwa kwa Y nakumbuka waumini walihamasishana wakapavamie pale mahala kisa eti wanauza pombe ila baadae wenye hekima wakawatuliza tu hivi je wangeshikwa na polisi wakapelekwa mahabusu humu mitandaoni si ungesema waislamu wanaonewa?
Alichukia wakristu mnoooWanajamvi,
Naamini si wengi wanaomfahamu Sheikh Ilunga Hassan Kapungu.
Karibuni tuangalie Ilunga katokea wapi na nini kilimfanya awe vile alivyokuwa:
KIFO CHA SHEIKH ILUNGA HASSAN KAPUNGU NI MSIBA KWA VIJANA - Mohamed Said
Unaweza kusikiliza kipindi cha radio nilichofanya kuhusu Sheikh Ilunga hapo chini:
Mohamed Said: RADIO KHERI DAR ES SALAAM NA RADIO QUIBLATEIN IRINGA: KUMBUKUMBU YA SHEIKH ILUNGA HASSAN KAPUNGU
Unaona ulivyo mjinga nimekutolea mfano wa hao waumini wajinga wenzio ambao walitaka kuvamia bar eti kisa iko karibu na msikiti najua wangeswekwa mahabusu mungelialia...kuna yule padre wa arusha bila shaka yupo mahabusu hadi leo alibakaHio mifano uliotoa ni kesi za kipuuzi na kila sehemu zipo.
Hapa tunaongelea System nzima ya haki za kikatiba kwa raia wa imani zote na wasio na dini.
Nimekuuliza je ! Uliwahi kusikia MKRISTO kawekwa jela Mpk ANAFIA JELA bila kufikishwa mahakamani?
Jibu ni HAKUNA.
Lkn WAISLAMU WENGI tena Waungwana wenye Elimu zao na Heshma zao wamabambikizwa KESI YA UGAIDI. Wamekaa Jela zaidi ya miaka 10 na wengine WAMEFIA JELA KWA MATESO.
Hio serikali inalitambua na Wananchi tunatambua.
We unaona hio ni sahih?
Why wagalatia na wengine wanapewa haki zao za kikatiba lkn WAISLAMU wasipewe?
Kama ni GAIDI kwanini asipelekwe mahakamani akahukumiwa kutokana na Ushahidi wa shaka lake?
Kwanini Serikali inalifungia macho suala la DHULMA HII?
WE Unadhani waislamu hawana Akili na uchungu wa kuona dhulma inayofanyika?
Mhalifu yyt awe Na dini au aside na dini HAKI YA KILA MMOJA YA MSINGI KIKATIBA ni KUFIKISHWA MAHAKAMANI.
Ukiona hio Haki WAISLAMU hawastahiki subiri nchi yetu ije kuwaka moto.
jazaaka allah shekh kwa tanzia murua mimi niliwahi kuhudhuria darasa lake mwanza ni mtu ambaye unabidi ujiulize kwa nini asiwe hata mbunge kwa uwezo wake wa kujenga hoja
Siku muabudu sanamu akipenda au kumkubali muislamu yyt ujue huyo ni muislamu mlalahoi au huyo muabudu sanamu anaelekea kusilimu.Yani huyo gaidi awe Mbunge?!
Kuna MKRISTO anapenda waislamu?Alichukia wakristu mnooo
He preached hate
Nani anaweza kumpenda mtu anayehubiri chuki na mauaji??Siku muabudu sanamu akipenda au kumkubali muislamu yyt ujue huyo ni muislamu mlalahoi au huyo muabudu sanamu anaelekea kusilimu.
Hamna kingine.
Kuna waislamu zaidi ya Billion 2 dunia. Kwa mujibu wa muabudu sanamu kama wewe WOOTE HAO wanahubiri chuki na mauwaji. Cha kushangaza wewe npk sasa bado uko hai na unapishana na waislamu mitaani kila siku.Nani anaweza kumpenda mtu anayehubiri chuki na mauaji??
Anayesababisha mifarakano katika jamii.
Wapo wengi sana aiseeKuna MKRISTO anapenda waislamu?
Natajie mmoja unaemjua wewe.
Au utasema Gwajima.
🤣🤣
Wanajamvi,
Naamini si wengi wanaomfahamu Sheikh Ilunga Hassan Kapungu.
Karibuni tuangalie Ilunga katokea wapi na nini kilimfanya awe vile alivyokuwa:
KIFO CHA SHEIKH ILUNGA HASSAN KAPUNGU NI MSIBA KWA VIJANA - Mohamed Said
Unaweza kusikiliza kipindi cha radio nilichofanya kuhusu Sheikh Ilunga hapo chini:
Mohamed Said: RADIO KHERI DAR ES SALAAM NA RADIO QUIBLATEIN IRINGA: KUMBUKUMBU YA SHEIKH ILUNGA HASSAN KAPUNGU
Alikushawishi wewe??, kwani wewe ni mwislamu ??Hivi huyu si yule mtu aliyekuwa akishawishi Waislamu waue Wakristo na anapewa sifa hizi? Huyu hakuwa Muislam wa kweli kwa sababu Uislam ni dini ya amani. Nawashangaa sana watu wanaomshabikia na hata kifo chake ni fimbo ya Allah kwake kumwonyesha wale uliokuwa ukielekeza wakauawe wamebaki wanamtumikia Mungu na yeye shehe wa kuchochea kuua akatangulia kufa na ataikoma jehanamu ya moto!!!!
Alikuwaasa wewe ?? Kwani wewe ni ni mwislamu ?? wapi huko aliwaasa kanisani kwenu ??kweli binadamu tunafikra tofauti hiv ILUNGA nae, alikuwa wa kuenziwa kwa beti zote hizo zote!??
mimi nilimchukulia kama MUUAJI, GAIDI na mwenye kuharibu umoja wa watanzania hasa kwa mafundisho yake ya kuwaasa waislamu kuuwa wakristo ilhali tu jamii moja na tumeingiliana kwakuoleana!..
nahitimisha kwakusema lLUNGA alikuwa ni binadamu/kiongozi wa dini hatari kupata kumshuhudia katika ardhi ya Tz.
HATA HIVYO NAMUOMBA MUNGU BABA AMSAMEHE MATENDO YAKE YA CHUKI KWA WAKRISTO.
KivipiUnalinufaisha kanisa hasa katoliki
tuwekee hiyo video anayosema hivyo, Hivi pale mwembechai yule kiongozi wa kanisa alikuwa akiwaambia nini polisiMimi nikiliona hilo jina la Sheikh Ilunga huwa napata goose pimples. Nimewahi kuona video zake akihimiza waislamu waue mapadre, maaskofu, makardinali, na wakishindwa hao waue hata mlei!
Hii eulogy nzuri hivi aliyoandikiwa hapa inapingana kabisa na habari zake nyingi na video zake ziko mitandaoni katika youtube, wala siyo za kificho.
Aliwashawishi muueAlikushawishi wewe??, kwani wewe ni mwislamu ??
This is very wrongSheikh Ilunga alikua extremist sana
Hata waislam baina yao hawakumpenda
Yeye hoja yake ilikua wakatoliki. Wakristo,... Na hakuogopa kusema "uvunjifu wa amani"
Ndio mssna alikufa vibaya
Apumzike kwa amani alipo
Raha ya milele umpe Ee Bwana na mwanga wa milele umuangazie Sheikh Hamis Ilunga Kapungu apumzike kwa amani
Waislam someni sana mpate madigrii muache kuwaza ugaidi kuua watu kwa kisingizio cha dini au kukalia kuuza dawa za majini. Kahawa. Alikasusu na juisi ya tende
Nyie ni watu wa chini mnooooo hata Mungu hakusema watu wawe. Wa chiiini na wajinga kama nyinyi kukalia kusoma kuran kiarabu na shule hamtaki matokeo yake mnakosa cha kufanya mnaanza kuua watu kea kisingizio cha Allah
Aliwashawishi muue
Akafa yeye kwanza
Sio waislam wote ni magaidi nakubaliana na wewe ila sasa karibu makundi yote ya ugaidi na ukatili yanafungamana na uislam.Kuna waislamu zaidi ya Billion 2 dunia. Kwa mujibu wa muabudu sanamu kama wewe WOOTE HAO wanahubiri chuki na mauwaji. Cha kushangaza wewe npk sasa bado uko hai na unapishana na waislamu mitaani kila siku.
Na huenda aliekuajiri Muislamu.
Hizo chuki zenu zinawaathiri wenyewe. Ndio maana hata Mungu hakuweka Rasilimali nyingi kwenye nchi za waabudu sanamu manake mngetumaliza wote.
Ndio maana mnavamia na kuua kwenye nchi za waislamu ili kupora maliasili zao.
We tulia tu. Muda utaongea wenyewe mgalatia.
Sio waislam wote ni magaidi nakubaliana na wewe ila sasa karibu makundi yote ya ugaidi na ukatili yanafungamana na uislam.
Alqaeda, alshabaab, bokoharam, Hamas, Hezbollah, Houth, Islamic Jihad, ADF, abu sahaf, isis nk