Kwa Muslim siyo story, kwasababu wanaamini Majini ni viumbe wa mungu na kila binadamu anajini wake.......so ni jambo la kawaida sana kama umekaa karibu nao kama huna interaction nao hilo jambo litakusumbua sana
Kwa Muslim siyo story, kwasababu wanaamini Majini ni viumbe wa mungu na kila binadamu anajini wake.......so ni jambo la kawaida sana kama umekaa karibu nao kama huna interaction nao hilo jambo litakusumbua sana
Wala haiitaji kushangaa dini yenyewe inawakubali na ni sehemu muhimu sana kwa imani yao hao mapepo. Ndiyo maana wanasema wapo mapepo wazuri.Dini kidogo uganga kidogo
Wala haiitaji kushangaa dini yenyewe inawakubali na ni sehemu muhimu sana kwa imani yao hao mapepo. Ndiyo maana wanasema wapo mapepo wazuri.Dini kidogo uganga kidogo
Majini kwenye dini ya haki dini ya mudy mbona ni kitu cha kawaida. Wanaingia mpaka masjid kuswali. Jamaa kanifurahisha sana, “eti jini kaenda kununua dawa za asili”