Sheikh ambalo
kwetu lina maana ya
mwanachuoni lakini
katika lugha ya
Kiarabu lina maana
ya uzee, utemi,
uchifu, uongoz
nafikiri mpaka hapo imeeleweka kiongozi
Ni kweli mkuu, lakini haya mambo yapo na mifano hai ipo.
Kwanini basi wale Masheikh na Maustaadh wanaofanya mambo ya uganga wa kienyeji wasipigwe ban kwa ajili ya kulinda misingi na maadili ya dini?
Ndio maana waislamu wanapigania mahakama ya kadhi ili kuwadhibu watu kama hao,leo hii tumewekewa bakwata, viongozi wanateuliwa na serikali, halafu wanasema tusichanganye dini na siasa.
Mbona mashehe weng na maustadh ni waganga huku mtaani au waatudanganya? Wanaojua tupeni uhusiano uliopo kati ya mashehe na uganga Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Ujio mwema J33, Kama ulivyopenda kujua hapo juu !
Nikujuze kuwa neno Shehe (sheikh) ni la kiarabu kama maneno mengine yyte. Hivyo kuna maana tatu kuitwa shehe / sheikh:-
1. Mtu (me) anapofikia umri wa arobaini(40) na zaidi huitwa Sheikh, kwa kuwa umri huu wa uhai ni akaili timamu...!
2. Mtu (me) Mwenye kumiliki mali/utajiri mkubwa, Ukoo/Familiya kubwa (watoto/vizazi wengi) huitwa Sheikh kwa kuwa ni mfadhili wa jamii, muihsani wa kabila.!!
3. Mtu (me) Timamu aliyesomea elimu za juu kupitia Viyuo na scholars mbalimbali na kuwa mwanachuoni, akaweza kutafsiri maisha, baada ya kuhitimu huitwa Sheikh/shehe.
Ndio maana waislamu wanapigania mahakama ya kadhi ili kuwadhibu watu kama hao,leo hii tumewekewa bakwata, viongozi wanateuliwa na serikali, halafu wanasema tusichanganye dini na siasa.
ukishasema ni mganga hawez kuwa shekh,huyo mwandish ana fikra finyu ya uchambuz,alipaswa aandike,Mganga wa kienyeji abaka mabinti mapacha kigoma,ageheshimika,lakin kwa uandishi huo anaonekana si mwerevu wa mambo,
Kwa utaratibu wa Waislam, ni kwamba huyu Shekhe angeongea na wazazi wa hawa watoto angeruhusiwa kuwaoa hata kama wangekuwa na miaka 6 au 9, tatizo yeye hakufuata utaratibu
Kwa utaratibu wa Waislam, ni kwamba huyu Shekhe angeongea na wazazi wa hawa watoto angeruhusiwa kuwaoa hata kama wangekuwa na miaka 6 au 9, tatizo yeye hakufuata utaratibu