kyalankota
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 2,594
- 1,463
Shehe ni mnyama gani?
Weka picha
Tunaharibiana siku jamani tafadhari.
ukishasema ni [size=+2]mganga hawez kuwa shekh,[/size] huyo mwandish ana fikra finyu ya uchambuz,alipaswa aandike,Mganga wa kienyeji abaka mabinti mapacha kigoma,ageheshimika,lakin kwa uandishi huo anaonekana si mwerevu wa mambo,
Source...
Source...
Tunaharibiana siku jamani tafadhari.
Ingekuwa vizuri tukapata maana ya neno "shekhe" manayake nini.
Ukiwa mganga unapoteza sifa ya kuwa shekhe, uwezi kuongoza watu kwa sababu unapiga ramli, na ramli imekatazwa katika dini
Ukiwa mganga unapoteza sifa ya kuwa shekhe, uwezi kuongoza watu kwa sababu unapiga ramli, na ramli imekatazwa katika dini