Walipelekwa Kwa Huyo mganga anayejiita Sheikh, na Baba Yao ili! Waongezewe akili darasani na ulinzi. Ni watoto wa kaka yake na Asha Baraka. Tukio limetokea Kigoma
source. Clouds fm kwenye uchambizi wa magazeti, ni gazeti la Tanzania Daima
ukishasema ni mganga hawez kuwa shekh,huyo mwandish ana fikra finyu ya uchambuz,alipaswa aandike,Mganga wa kienyeji abaka mabinti mapacha kigoma,ageheshimika,lakin kwa uandishi huo anaonekana si mwerevu wa mambo,
ukishasema ni [size=+2]mganga hawez kuwa shekh,[/size] huyo mwandish ana fikra finyu ya uchambuz,alipaswa aandike,Mganga wa kienyeji abaka mabinti mapacha kigoma,ageheshimika,lakin kwa uandishi huo anaonekana si mwerevu wa mambo,
Sheikh ambalo
kwetu lina maana ya
mwanachuoni lakini
katika lugha ya
Kiarabu lina maana
ya uzee, utemi,
uchifu, uongoz
nafikiri mpaka hapo imeeleweka kiongozi
Ni kweli mkuu, lakini haya mambo yapo na mifano hai ipo.
Kwanini basi wale Masheikh na Maustaadh wanaofanya mambo ya uganga wa kienyeji wasipigwe ban kwa ajili ya kulinda misingi na maadili ya dini?