its time to recall the minister and leaders who were in power 1994-2005 ,to answer our questions kwanini uzembe mkubwa kiasi hiki ulifanyika,na isitoshe serikali inabidi iongeze percentage of ownership,25% ni ndogo saana ,kwani hiyo almasi iliyopo tu inathamani ya dola 4.5million kampuni ya Debeers inauzwa kwa dola 10million,hapo inaonyesha wazi kuna wizi mtupu kuibia serikali yetu.