Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,501
Je unauchukia umaskini? Ungependa kuiona Tanzania yenye watu walio na tabasamu muda wote kwa kuwa wanapata huduma ya afya nzuri, chakula bora, maji safi na salama, miundo mbinu ya uhakika, elimu bora na inayopatikana kwa wote?
Basi hauhitaji kumpenda au hata kuhamia CHADEMA bali mchague LOWASSA ili pamoja tuweke malengo yaliyo SMART na mikakati thabiti tuifikie Tanzania iliyo na TABASAMU
VOTE FOR LOWASSA; VOTE FOR YOUR DREAM
Basi hauhitaji kumpenda au hata kuhamia CHADEMA bali mchague LOWASSA ili pamoja tuweke malengo yaliyo SMART na mikakati thabiti tuifikie Tanzania iliyo na TABASAMU
VOTE FOR LOWASSA; VOTE FOR YOUR DREAM