Shamba zuri linauzwa Puna, Kigamboni

Shamba zuri linauzwa Puna, Kigamboni

Anwar2012

Member
Joined
Nov 25, 2012
Posts
18
Reaction score
4
Shamba Zuri, Safi lisikokuwa na visiki 3.5 acres lipo yaleyale puna Kigamboni 40 Km from ferry. Lina kisima Kirefu na maji zaidi ya litres 15,000 per hour. Lina rooms 2 tayari, Vyoo, bafu na store. Irrigation system nzuri sana. Naliuza kwa sababu nimepata shamba kubwa zaidi hivyo siwezi kujigawa. 0768939433 ni check.
 

Attachments

  • 1436034281840.jpg
    1436034281840.jpg
    47.7 KB · Views: 183
nimelipenda, hebu niambie kuna tank hapo shambani? kama lipo ni lita ngapi? kwa udongo wa hapo unatumia lita ngapi kumwagilia kwa mara moja, pia hizo drip lines zina spacing ya cm ngapi toka tundu hadi tundu? na zipo line ngapi na urefu wa kila line, ukinijibu hapa naweza kuamua kitu,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom