Shamba LINAUZWA

Joined
Jun 22, 2022
Posts
38
Reaction score
15
Shamba linalofaa kwa kilimo Cha parachichi au miti ya mbao linauzwa. Lipo Kijiji Cha matembwe ktk kata ya Matembwe, tarafa ya Lupembe wilayani Njombe na mkoa wa Njombe. Lina ukubwa wa eka 10

Bei ni tsh 500,000/= eka Linafaa kwa kilimo Cha mahindi pia maharage n,k

Kwa mawasiliano zaidi nipigie 0711605570 au 0784340024

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…