Shamba linauzwa

Shamba linauzwa

prof.elias

Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
29
Reaction score
9
Shamba la heka 4 linauzwa kwa mil 5, lipo mlandizi mwisho kisha unaingia km 1 kwenda kwenye kijiji cha ngeta. Mawasiliano 0713626494 & 0767626494 karibuni sana.
 
Shamba la heka 4 linauzwa kwa mil 5, lipo mlandizi mwisho kisha unaingia km 1 kwenda kwenye kijiji cha ngeta. Mawasiliano 0713626494 & 0767626494 karibuni sana.
Hiyo Million 5 ni kwa heka zote 4 au kila heka 1??
 
Sorry guys nilikuwa bize na kazi kidogo. Sina picha kwenye simu ila kunafaa mazao ya mahindi na mihogo kwa livyo lima mimi mwanzo. Price ni hekari zote kwa bei hiyo
 
Kidogo Tu Nikuite Uje Huku Kumbe Tiyari Umeshatia Timu Mimi Nilivyomuelewa Anamaanisha Hekari Nne Zote Zinauzwa Kwa Million 5 Tu ... Ila Ngoja Aje Afafanue Kwa Undani Zaidi ... !
Ahsante Mkuu wangu kwa kunigundua,
Ukweli niko na interest na hizi. Yule jamaa wa Mkuranga hauzi yule, bora nimempata huyu anaeuza, amefafanua bei kua ni Zote 4 zinauzwa kwa Tshs 5mil, ni reasonable hii bei.
Ngoja nichakarike wikiend hii nimalizane nae!!
 
Ahsante Mkuu wangu kwa kunigundua,
Ukweli niko na interest na hizi. Yule jamaa wa Mkuranga hauzi yule, bora nimempata huyu anaeuza, amefafanua bei kua ni Zote 4 zinauzwa kwa Tshs 5mil, ni reasonable hii bei.
Ngoja nichakarike wikiend hii nimalizane nae!!
Pamoja Mkuu Ongea Nae Vizuri Anaweza Kukuuzia Hata Kwa Bei Chini Ya Hapo Hizi Biashara Ni Maelewano Tu ... !
 
Hata moja ukitaka ila nilipenda kwa zote ili mtu na uhuru na eneo lako ila ukitaka niambia nitafanya hivyo.
 
Kidogo Tu Nikuite Uje Huku Kumbe Tiyari Umeshatia Timu Mimi Nilivyomuelewa Anamaanisha Hekari Nne Zote Zinauzwa Kwa Million 5 Tu ... Ila Ngoja Aje Afafanue Kwa Undani Zaidi ... !
Mkuu habari, ulishauza shamba la mlandizi..?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom