jwille
Member
- Apr 7, 2015
- 32
- 29
Kunashamba linauzwa maeneo ya Morogoro njia ya kuelekea Dodoma baada ya mizani ya kihonda.
Shamba lipo mita chache baadabya reserve ya barabara ya Moro to Dodoma.Eneo ambapo shamba linapatikana ni kijiji cha Makunganya.
Shamba linaukubwa wa hekali 5.linafaa sana kwa biashar, makazi au uwekezaji wa kituo cha mafuta.
Pia shamba lingine lipo Bagamoyo njia ya kuelekea msata.hekali 4
Shamba lipo mita chache baadabya reserve ya barabara ya Moro to Dodoma.Eneo ambapo shamba linapatikana ni kijiji cha Makunganya.
Shamba linaukubwa wa hekali 5.linafaa sana kwa biashar, makazi au uwekezaji wa kituo cha mafuta.
Pia shamba lingine lipo Bagamoyo njia ya kuelekea msata.hekali 4