Shamba linauzwa - Mkiu Mkuranga

Shamba linauzwa - Mkiu Mkuranga

Joined
Feb 11, 2019
Posts
32
Reaction score
40
Shamba heka 22 naziuza zipo km 8 kutoka barabarani iendayo mtwara na km 100 kutoka mbagala , lipo Mkuranga kijiji cha miteza , Shamba halijawahi kulimwa. Maji yapo karibu. Lina hati ya kijiji, kila heka shilingi laki nane, Sina Dalali. Atakayependezewa namba zangu ni 0752363857.View attachment 1084160
IMG_20190429_201233_572.JPG
 
Sasa mbona hujaweka number za simu?
Samahani account yangu ya kwanza ilipata matatizo, namba ya simu iko hapo na hapo kwenye tangazo langu nilisahau kuandika kama hilo shamba lina mto kwa pembeni ambao haukauki.karibu sana mkuu
 
Nauli kutoka Mbagala mpaka shamba bei gani?? Na ni mazao gani yanastawi huko??
 
ata kama ndo uuze 176M
Hiyo bei umeitaja wewe,mimi siyo bei yangu niliyoiandika, na nina imani Mwalimu wako WA hesabu akiona mwanafunzi wake unafail hesabu ndogo kama hii ya pili 800000 × 22= ukapata 176,000,000 nina uwakika mwalimu wako anaweza kujiua kwa hasira. Tulia piga hesabu vizuri halafu ndiyo uje kulalamika
 
Shamba bado lipo, jamani fursa ya wanyama pori ikianza tuwe tayari tumeshapata sehemu ya kuwafugia. Karibuni mkuranga
 
Pia nina viwanja vya makazi mwasonga mjini, km 30 kutoka ferry viwanja vipo karibu na chuo cha kilimo cha mkorea,umeme,maji vinapatikana vinaanzia sqm 700 hadi 2000 bei kwa sqm 1 ni 13,000/= malipo ni mwaka mzima, ukimaliza malipo nakupatia hati yako. Mkataba wa Kwanza tunaweka mbele ya mwanasheria wangu au mwanasheria wako. Karibuni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom