Sina hamu na Kibamba, nilionyeshwa shamba zuri lapata ekari tatu karibu sana na barabara ya Morogoro, machale yakanicheza kabla ya kumtafuta mwenyekiti wa kijiji, kesho yake asubuhi nikaenda kutembelea maeneo ya jirani na shamba nililo onyeshwa, nikakutana na kibao kikubwa kimeandikwa; Hili ni eneo la jeshi huruhusiwi kuingia, kulima au kujenga.