Habari! nauza shamba,liko kijiji cha kisande wilaya ya kondoa, lina ukubwa wa eka 5 linafaa kwa kilimo cha mahindi,vitunguu,alizeti na mazao mengine. bei ni 300,000 kwa eka.karibuni.
Habari! nauza shamba,liko kijiji cha kisande wilaya ya kondoa, lina ukubwa wa eka 5 linafaa kwa kilimo cha mahindi,vitunguu,alizeti na mazao mengine. bei ni 300,000 kwa eka.karibuni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.