Shamba linauzwa Kisarawe

Shamba linauzwa Kisarawe

Fadhili Paulo

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2011
Posts
3,211
Reaction score
996
Wakuu,

Shamba la ekari 3 linauzwa hapo kisarawe karibu tu na Dar Es Salaam, ekari zote 3 unapewa kwa milioni 4 tu na bei inapunguwa.
Mawasiliano: +255769142586 sms/call/whatsapp
 
kisarawe kubwa, ni sehemu gani ya kisarawe na shamba lina vitu gani pia je ardhi iko tambarare au slope?
 
Wakuu,

Shamba la ekari 3 linauzwa hapo kisarawe karibu tu na Dar Es Salaam, ekari zote 3 unapewa kwa milioni 4 tu na bei inapunguwa.
Mawasiliano: +255769142586 sms/call/whatsapp

Fadhili Ebu tupia picha na je ni distance gani kutoka gongo la mboto/buguruni hadi hapo? Miundombinu? Barabara zinapitika kwa mwaka mzima au ikinyesha mvua majanga? Umeme upo?
 
Wakuu je naweza kupata eneo la barabarani ili nifanye biashara lakini ktk maeneo hayo ya kisarawe tafadhalini....
 
Back
Top Bottom