Bize Bize
Member
- Nov 27, 2012
- 29
- 9
Habari zenu jamvini!!
Shamba linalokadiriwa kuwa na heka 20 lipo maeneo ya Kimanzichana wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani.
Shamba limepandwa nanasi na mipapai, lakini pia lina michungwa. Kumejengwa nyumba nzuri ya bati ya vyumba viwili, banda kubwa la kufugia kuku wa kienyeji, banda dogo la mbwa, kisima cha maji ya kunywa. Shamba limesafishwa kwa kufyekwa na kung'olewa visiki kama heka tano. Lipo km 2 toka barabara ya Kilwa, barabara kwenda shambani ni nzuri inafikika masika na kiangazi barabara hiyo inakwenda pwani ya Kisiju.
Shamba linalokadiriwa kuwa na heka 20 lipo maeneo ya Kimanzichana wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani.
Shamba limepandwa nanasi na mipapai, lakini pia lina michungwa. Kumejengwa nyumba nzuri ya bati ya vyumba viwili, banda kubwa la kufugia kuku wa kienyeji, banda dogo la mbwa, kisima cha maji ya kunywa. Shamba limesafishwa kwa kufyekwa na kung'olewa visiki kama heka tano. Lipo km 2 toka barabara ya Kilwa, barabara kwenda shambani ni nzuri inafikika masika na kiangazi barabara hiyo inakwenda pwani ya Kisiju.