Shamba linauzwa Bagamoyo

Shamba linauzwa Bagamoyo

Bagamoyo sehemu gani, weka na number zako
 
fukyosi bagamoyo eka ni 150,000 ndo beh ya juu na punguzo lipo....
 
Mimi ninahitaji eka moja Kibaha mwenye nacho nicheki
 
Wakuu naomba mawasiliano ya yeyote anayekaa bagamoyo na ana uelewa kidogo wa haya mashamba, nimeona bei 150000 nimekua interested, naombeni msaada tafadhali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom