Shamba linauzwa 700,000 tu

Shamba linauzwa 700,000 tu

palesh pizoo

Senior Member
Joined
Apr 14, 2018
Posts
131
Reaction score
224
Shamba linauzwa lipo Dodoma mjini mtaa wa Nala ni kilomiter 15 toka mjini kati(Jamatini) barabara zinapitika bei yake ni laki Saba tu (700,000/=) kwa heka moja na zipo heka nne karibu sana kwa mawasiliano zaidi wasiliana nami kwa simu namba 0692488869

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tupia hata picha tuone uwanda wake upoje
 
Shamba Nala? Manispaa Wanajiandaa kupima viwanja kule... hebu fafanua
Ni kweli wanajiandaa kupima ni right lakin nala imegawanyika sehem nyingi eneo ambalo wanataka kupima ni eneo.la nala barazani ambapo kwa sasa ukienda kununua eneo unauziwa kama kiwanja lakin ukifika pale nala baradhan kuna vibao vimeandikwa "Shule ya msingi lugala,Zahanati ya lugala" i mean nala ya lugala kwa sasa huwa panauzwa kama shamba sababu bado hakuanza kupimwa na wala hakujahakikiwa wejyeji wanauza maeneo kwa sababu ya shida lakin hii kwetu ni kama fursa maana unanunua leo kama shamba mwaka.mmoja mbele heka yako moja unakuja kuigawa mara mbili halaf unauza kama kiwanja kwa bei nzuri kabisa na ni eneo lenye fursa nyingi maana kuna taasisi nying zimenunua jiran na mitaa hiyo kama vile Suma Jkt, IFM, Waziri mkuu pia amenunua kama heka 20 maebeo hayo hayo. Mimi pia nimenunua shamba huko ila ninaishi mjini na hilo enei ninalolitangaza ni la jirani yangu huko shambani na ni mwenyeji wa nala huko huko kaniomba nimtafutie mteja ndy maana nikatangaza humu lakini ningekuwa na pesa mm mwenyew ningelichukua sababu najua ni faida ya baadaye.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli wanajiandaa kupima ni right lakin nala imegawanyika sehem nyingi eneo ambalo wanataka kupima ni eneo.la nala barazani ambapo kwa sasa ukienda kununua eneo unauziwa kama kiwanja lakin ukifika pale nala baradhan kuna vibao vimeandikwa "Shule ya msingi lugala,Zahanati ya lugala" i mean nala ya lugala kwa sasa huwa panauzwa kama shamba sababu bado hakuanza kupimwa na wala hakujahakikiwa wejyeji wanauza maeneo kwa sababu ya shida lakin hii kwetu ni kama fursa maana unanunua leo kama shamba mwaka.mmoja mbele heka yako moja unakuja kuigawa mara mbili halaf unauza kama kiwanja kwa bei nzuri kabisa na ni eneo lenye fursa nyingi maana kuna taasisi nying zimenunua jiran na mitaa hiyo kama vile Suma Jkt, IFM, Waziri mkuu pia amenunua kama heka 20 maebeo hayo hayo. Mimi pia nimenunua shamba huko ila ninaishi mjini na hilo enei ninalolitangaza ni la jirani yangu huko shambani na ni mwenyeji wa nala huko huko kaniomba nimtafutie mteja ndy maana nikatangaza humu lakini ningekuwa na pesa mm mwenyew ningelichukua sababu najua ni faida ya baadaye.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimekusoma ila tatizo la Dodoma kwa sasa maeneo mengi yameshapangiwa shughuli. Wenyeji wanayauza ili kukwepa msala. Manispaa walishatoa angalizo kwa baadhi ya maeneo ikiwa ni pamoja na huko Nala. Sasa umeshaangalia matumizi yaliyopangiwa eneo hilo linalouzwa??
 
Nimekusoma ila tatizo la Dodoma kwa sasa maeneo mengi yameshapangiwa shughuli. Wenyeji wanayauza ili kukwepa msala. Manispaa walishatoa angalizo kwa baadhi ya maeneo ikiwa ni pamoja na huko Nala. Sasa umeshaangalia matumizi yaliyopangiwa eneo hilo linalouzwa??
Ni makazi Pia ninaweza kukupatia hata namba ya mtendaji wa kijiji na wenyekiti ambayo hata mm pia nipo kwenye milki zao uweze kuwauliza kiundani ili kujiridhisha mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TAHADHARI: KUNA MAENEO YAPO NALA YAMETENGWA KWAAJILI YA TAASISI ZA SERIKALI NA YAPO MAENEO YA HIFADHI UKIINGIA KICHWA KICHWA UNAINGIZWA JIJINI.
KARIBUNI DODOMA (MTOA MADA SAMAHANI SANA)
 
TAHADHARI: KUNA MAENEO YAPO NALA YAMETENGWA KWAAJILI YA TAASISI ZA SERIKALI NA YAPO MAENEO YA HIFADHI UKIINGIA KICHWA KICHWA UNAINGIZWA JIJINI.
KARIBUNI DODOMA (MTOA MADA SAMAHANI SANA)
Bila samahani ndy maana nikaeleza kuwa ni eneo la makazi hvy mhitaji anaweza kuwaulizia hata wrnyeji na viongozi pia na kuhusu marneo kutengwa sidhan kama kuna mtaa ambao hauna japo viwanja viwil vya serikal ila sio mtaa wote na sio eneo lote unataka kuniambia kuwa Lugala kijijini wakisema waweke hifadhi na wrbyeji watapelekwa wapi. Mimi ni mwenyej kule pia ninamiliki eneo langu kubwa tu kabla ya hizo habar za kuihamishia serikal Dodoma ndugu yangu nawahakikishia usalama wote juu ya hilo na atakayekuwa tayar kuenda kuliangalia gharama yake ni usafir tu mda wowote nampeleka na ukitaka nikuoneshe maeneo ya serikal nakupeleka mashirika pia nk.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila samahani ndy maana nikaeleza kuwa ni eneo la makazi hvy mhitaji anaweza kuwaulizia hata wrnyeji na viongozi pia na kuhusu marneo kutengwa sidhan kama kuna mtaa ambao hauna japo viwanja viwil vya serikal ila sio mtaa wote na sio eneo lote unataka kuniambia kuwa Lugala kijijini wakisema waweke hifadhi na wrbyeji watapelekwa wapi. Mimi ni mwenyej kule pia ninamiliki eneo langu kubwa tu kabla ya hizo habar za kuihamishia serikal Dodoma ndugu yangu nawahakikishia usalama wote juu ya hilo na atakayekuwa tayar kuenda kuliangalia gharama yake ni usafir tu mda wowote nampeleka na ukitaka nikuoneshe maeneo ya serikal nakupeleka mashirika pia nk.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeambiwa uweke documents Nani alipie usafiri, ukiwa name ni Watu wasiojulikana.
 
Bila samahani ndy maana nikaeleza kuwa ni eneo la makazi hvy mhitaji anaweza kuwaulizia hata wrnyeji na viongozi pia na kuhusu marneo kutengwa sidhan kama kuna mtaa ambao hauna japo viwanja viwil vya serikal ila sio mtaa wote na sio eneo lote unataka kuniambia kuwa Lugala kijijini wakisema waweke hifadhi na wrbyeji watapelekwa wapi. Mimi ni mwenyej kule pia ninamiliki eneo langu kubwa tu kabla ya hizo habar za kuihamishia serikal Dodoma ndugu yangu nawahakikishia usalama wote juu ya hilo na atakayekuwa tayar kuenda kuliangalia gharama yake ni usafir tu mda wowote nampeleka na ukitaka nikuoneshe maeneo ya serikal nakupeleka mashirika pia nk.

Sent using Jamii Forums mobile app
Weka documents ndo huruma yako, maelezo mengi ya nini?
 
Shamba linauzwa lipo Dodoma mjini mtaa wa Nala ni kilomiter 15 toka mjini kati(Jamatini) barabara zinapitika bei yake ni laki Saba tu (700,000/=) kwa heka moja na zipo heka nne karibu sana kwa mawasiliano zaidi wasiliana nami kwa simu namba 0692488869

Sent using Jamii Forums mobile app
Mjii mkuu wa Tznia accre 1 sh laki saba tu nchi yetu, bado sana maanake hamna uwekezaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama anapokea lak4 ni pm


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom